Blogroll

News Update :

WELCOME TO KILIMAJARO TOUR

Blog hii inahusika na masuala yote ya utalii katika Tanzania. Unaweza kufaidika mengi kwa kupata habari mbalimbali zihusuzo utalii kama vile, mbuga za wanyama, aina mbali mbali za wanyama na tabia zao, kampuni mbali mbali zitoazo huduma kwa watalii, hoteli mbali mbali za kitalii, burudani mbali mbali katika maeneo yenye vivutio, tamaduni na mila za wenyeji wa maeneo yenye vivutio nk.

TOURISM

Karibu katika mbuga zetu za wanyama, Hifadhi za Taifa, Milima mikubwa, Mapango ya Kale, Bonde la ufa Maziwa makubwa, Kimondo, Visiwa vya Pemba na Unguja nk.

TRADITIONS

Kutana na makabila yapatikanayo kwenye maeneo ya vivutio na hifadhi za Taifa kama vile, Wachaga kutoka pembezoni mwa mlima Kilimanjaro, Wamasai kutoka Hifadhi ya Serengeti, Ngorongoro na Manyara nk.

FaceBook

Tutafute katika Facebook kupitia

Social Icons

Twitter

Tutafute kwenye twitter

Blog Archive

Followers

Featured Posts

Hot News »
Bagikan kepada teman!

Penulis : Unknown on Tuesday, September 24, 2013 | 7:55 AM

Tuesday, September 24, 2013

Hotels on the peak!
comments | | Read More...

Karibu Kilimanjaro, Karibu Tanzania, Karibu katika blog hii ya Kill Tour uweze kupata nafasi ya kujua mabo mengi yanayohusiana na Utalii katika Tanzania hususani maeneo yenye vivutio vya kitalii, kampuni za utalii, hoteli za kitalii pamoja na gharama zote zihusuzo utalii.
Mkoa wa Kilimanjaro ni moja kati ya mikoa  Tanzania. Wenyeji wa mji huu ni wachaga na wapare. Wachaga wanotoka katika wilaya za Moshi Mjini, Moshi vijijini Rombo, Hai na Vunjo. Wakati Wapare wakitokea wilya za Same na Mwanga.
comments | | Read More...
 
Design Template by panjz-online | Support by creating website | Powered by Blogger